Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisiliza changamoto za wakulima na wafugaji katika kjijiji cha Fukayosi wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani aliposimama kwa muda na hatimaye kutoa maelekezo ya namna ya kutatua migogoro hiyo akiwa njia kuelekea Dar es salaam akitokea katika ziara ya kikazi ya Dodoma Machi 17, 2017
Mmoja wa wananchi wa kjijiji cha Fukayosi wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani akielezea changamoto za wakulima na wafugani wa kijiji hicho kwa Rais aliposimama kwa muda na hatimaye kutoa maelekezo ya namna ya kutatua migogoro hiyo akiwa njia kuelekea Dar es salaam akitokea katika ziara ya kikazi ya Dodoma Machi 17, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wanakjijiji wa Fukayosi wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani aliposimama kwa muda na hatimaye kutoa maelekezo ya namna ya kutatua migogoro kati ya wakulima na wafugaji akiwa njia kuelekea Dar es salaam akitokea katika ziara ya kikazi ya Dodoma Machi 17, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa maagizo kwa Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Mhe. Maggid Mwanga baada ya kuongea na wanakjijiji wa Fukayosi wilayani humo aliposimama kwa muda na hatimaye kutoa maelekezo ya namna ya kutatua migogoro kati ya wakulima na wafugaji akiwa njia kuelekea Dar es salaam akitokea katika ziara ya kikazi ya Dodoma Machi 17, 2017.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Mhe. Maggid Mwanga akitoa ufafanuzi kwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kuhusiana namigogoro kati ya wakulima na wafugaji wa kijiji chaFukayosi wilayani Bagamoyo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wanakjijiji wa Fukayosi wilayani humo aliposimama kwa muda na hatimaye kutoa maelekezo ya namna ya kutatua migogoro kati ya wakulima na wafugaji akiwa njia kuelekea Dar es salaam akitokea katika ziara ya kikazi ya Dodoma Machi 17, 2017.