Monthly Archives: September 2017

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM- Taifa) NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE: DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM-TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM SEPTEMBA 30,2017.

 

 

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM-Taifa) Rais Mhe Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM-Taifa) kabla ya kufungua mkutano huo jijini Dar es Salaam.Septemba 30,2017

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM-Taifa) Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM kwa upande wa Tanzania Bara Rodrick Mpogolo kabla ya kufungua mkutano huo wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) jijini Dar es Salaam. Septemba 30,2017.

 

 

 

Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM-Taifa) wakipiga makofi mara baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM Taifa) Rais Mhe Dkt. John Magufuli kuwasili ukumbini hapo jijini Dar es Salaam Septemba 30,2017.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM-Taifa) Rais Mhe Dkt. John Magufuli akipiga makofi pamoja na viongozi wengine mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa mkutano wa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa jijini Dar es Salaam. Septemba 30,2017

 

Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiendelea na Kikao jijini Dar es Salaam. Septemba 30,2017.

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA KAMATI KUU YA TAIFA YA CCM JIJINI DAR ES SALAAM SEPTEMBA 27,2017.

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na ndg,Rodrick Mpogoro naibu katibu mkuu CCM bara   wakielekea kwenye ukumbi kwaajili ya Kikao cha Kamati Kuu  ya Chama cha Mapinduzi CCM jijini Dar es Salaam septemba 27,2017.

Makamu mwenyekiti wa CCM bara ndg,Philip Mangula akikaribishwa na ndg,Rodrick Mpogoro naibu katibu mkuu CCM bara   kwenye ukumbi kwaajili ya Kikao cha Kamati Kuu  ya Chama cha Mapinduzi CCM jijini Dar es Salaam septemba 27,2017.

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM jijini Dar es Salaam Septemba 27,2017

 Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti CCM (Zanzibar) Dkt. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakiwa pamoja na Wajumbe wengine wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM, mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho jijini Dar es Salaam septemba 27,2017.

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Salim Ahmed Salim mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati kuu ya chama cha mapinduzi CCM kilichofanyika  jijini Dar es Salaam septemba 27,2017.

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli wakifurahia jambo  na Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti CCM (Zanzibar) Dkt. Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati kuu ya chama cha mapinduzi CCM kilichofanyika  jijini Dar es Salaam septemba 27,2017.

Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti CCM (Zanzibar) Dkt. Ali Mohamed Shein akizungumza  na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati kuu ya chama cha mapinduzi CCM kilichofanyika  jijini Dar es Salaam septemba 27,2017.

Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti CCM (Zanzibar) Dkt. Ali Mohamed Shein akifurahi na  Makamu mwenyekiti wa CCM bara ndg.Philip Mangula,kulia ni ndg,Rodrick Mpogoro ambaye ni naibu katibu mkuu bara mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati kuu ya chama cha mapinduzi CCM kilichofanyika  jijini Dar es Salaam septemba 27,2017.