RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA WA SENETI NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA JAMHURI YA BURUNDI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM DESEMBA 22,2015

 

1Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Ndugu Reverien Ndikuriyo Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 22,2015.

2

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Ndugu Reverien Ndikuriyo Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 22,2015

3Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Ndugu Reverien Ndikuriyo Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 22,2015.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *