








Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na mtangazaji Salum Mkambaya kabla ya kuomba kupigiwa wimbo wa mwanamziki Prof. Jay na Stamina uitwao Baba na kuangalia wimbo akiwa studio za AMG inayomiliki Channel Ten Channel Ten Plus radio classic na radio Magic FM






Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na wananchi na viongozi wa Dar es salaam alipomaliza
kuwahutubia katika mkutano wa hadhara viwanja vya Mnazi Mmoja jijini
baada ya kuzindua Soko Kuu la Kisutu pamoja na Studio za Channel Ten.
Plus TV, Radio Magic FM. na Radio Classif FM leo Alhamisi Februari 25,
2021




leo Alhamisi Februari 25,2021