Monthly Archives: December 2015

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, AMEWAPISHA MAWAZIRI WATANO NA NAIBU WAZIRI MMOJA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM DESEMBA 28,2015

1fswdsdfsfRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Katibu Mkuu Wa Kiongozi walioketi katika picha ya Pamoja na Mawaziri walio simama baada ya kuwapisha Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 28,2015 (kwa habari picha bonyeza Blog)

DSC_4018

 

 

DSC_4022

 

 

1Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Profesa Jumanne Maghembe kuwa Waziri wa Maliasilina Utalii Desemba 28,2015 Ikulu jijini Dar es salaam 

1fgfg

 

DSC_4037

 

2dffRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha     Prof. Makame Mbarawa baada ya kumhamisha kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji na kwenda kuwa Waziri katika Wizara ya Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano

DSC_4059

 

 

DSC_4063

 

 

DSC_4065   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha  Dkt. Philip Mpango – kuwa Waziri wa Fedha na Mipango Desemba 28,2015 Ikulu jijini Dar es salaam (Ni baada ya kumteua  kuwa Mbunge)

DSC_4071

 

DSC_4073

 

DSC_4076Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Joyce Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Desemba 28,2015 Ikulu jijini Dar es salaam (Ni  baada ya kumteua kuwa Mbunge)

DSC_4048

 

DSC_4052

 

DSC_4054   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha  Mhandisi Gerson Lwenge kuwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji Desemba 28,2015 Ikulu jijini Dar es salaam

DSC_4082

 

DSC_4085

 

DSC_4086 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mheshimiwa Hamad Masauni kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Desemba 28,2015 Ikulu jijini Dar es salaam

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ASHIRIKI MISA YA KRISMASI KATIKA KANISA LA MTAKATIFU PETER JIJINI DAR ES SALAAM DESEMBA 25,2015

4953dca7-2e43-484c-8bc4-93e3d07014b6Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwasili kushiriki Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam Desemba 25, 2015

6bf6f663-e903-456b-b765-4ae97dd79ef7

Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam akisalisha Ibada ya Misa ya Krismas katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam Desemba 25, 2015

f1d941d5-11db-4a32-b5f2-b7d066d77731

 

d2cdbd84-44c0-45ef-846a-ab68a9eca05a

 

1wwvghqnbRais Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Mkewe Mama Janeth Magufuli na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakishiriki Ibada ya Krismas katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam  Desemba 25, 2015 

9aa81b8a-7fdb-45ee-87ea-7e37a23848ffSehemu ya waumini katika Ibada ya Krismas misa ya kwanza  katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015

fc2c89a7-62c3-42fd-8904-79e991f0c3a6

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam kasha akamkaribisha kusalimia wananchi baada ya kumalizika kwa Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam  Desemba 25, 2015

fb6d54d1-6efd-4089-b5e3-432d38b9303d

 

e163be21-50e2-4178-a6e7-366911e4b3cc

 

e042b0ae-05f8-4a95-90e0-22b89f75990fRais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam  Desemba 25, 2015

beba6cf2-b87c-470c-8060-963a0733022e

 

 

9ef08579-7717-48fd-9cec-821f962c6c17

 

6dcae765-8ff8-4f1e-94c7-b759c8160408Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwatakia salama za heri ya Krismasi baadhi ya waumini mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam Desemba 25, 2015

cdba7d94-82f0-4eb3-8151-55e098b989e1

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakiongea na Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam walipofika katika kanisa la Mtakatifu Peter kushiriki Ibada ya Krismas Desemba 25,2015