
Bendi ya jeshi la wananchi JWTZ ya Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa jeshi TMA ikiongozwa na Maj. Ramadhani Salum Mangapi ikiburudisha wakati wa sherehe hizo zilizofanyika Ukumbi wa Jenerali Tumaini Kiwelu
NISHANI
Nishani alizotunuku Amri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ni kama ifuatavyo.
1.NISHANI YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANI:
Nishani hii imetolewa kwa maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania watakaokuwepo katika utumishi hai tarehe 1 Septemba,2014
2,NISHANI YA OPERESHENI SAFISHA MSUMBIJI 1986 – 1988
Nishani hii imetolewa kwa maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania walioko kwenye utumishi,waliostaafu na waliofariki ambao walishiriki katika Operesheni Safisha Nchini Msumbiji Mwaka 1986 hadi 1988

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akiwa na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda, Rais wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Wazii wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Mstaafu John Samwel Malecela,Waziri Mkuu Mstaafu Edrward Lowassa na Mkuu wa Mkoa wa Arush Mhe Magese Mulongo baada ya kuwasili katika Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa Jeshi Tanzania, Monduli, Mkoa wa Arusha

Rais wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, , Waziri Mkuu Mstaafu John Samwel Malecela,Waziri Mkuu Mstaafu Edrward Lowassa, na Mama Hadija Mwinyi
Viongozi wa dini mbalimbali

Viongozi wa dini mbalimbali

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Florens Turuka na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George Yambesi na viongozi wengine
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiwa na Rais wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, , Waziri Mkuu Mstaafu John Samwel Malecela,Waziri Mkuu Mstaafu Edrward Lowassa, na Mama Hadija Mwinyi
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa tayari kutunuku shahada
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ, Mkuu wa majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za kutunuku nishani zilizofanyika kwenye ukumbi wa Jenerali Kiwelu wa Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa Jeshi Tanzania, Monduli
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ, Mnadhimu Muu wa majeshi ya Ulinzi nchini, Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba katika sherehe za kutunuku nishani zilizofanyika kwenye ukumbi wa Jenerali Kiwelu wa Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa Jeshi Tanzania, Monduli

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Luteni Jenerali Charles Lawrence Mkakala
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Meja Jenerali Salum Mustafa Kijuu

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Meja Jenerali Raphael Mugoya Muhuga

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Meja Jenerali Joseph Furaha Kapwani

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Brigedia Jenerali Jackson King Mrema
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Brigedia Jenerali Rogasian Shaaban Laswai

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Brigedia Jenerali Clemence Quadrates Kahama

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Brigedia Jenerali Hamis Issa Majumba

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Brigedia Jenerali Saleh Omar Semtua
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Brigedia Jenerali Ezra Wilson Ndimgwango

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Kanali Mauro Kaburule Mhagama

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Kanali Jacob Gidion Kingu

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Meja Baganchwera Traseas Rutambuka

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Meja Asha Omar Matanza

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Meja Jackson John Kalambo

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Meja Mathias Petro Mnkenyi
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Sajini Maria Daniel Marahu

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Koplo Aziza Said Jalala

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania JWTZ Koplo Tamasha Hemed Kondo

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Brigedia Jenerali Joseph Cosmas Chengelela

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali Anthony Solomon Msinday

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali Justine Marwa Munanka
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Brigedia Jenerali Aaron Robert Lukyaa
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Meja Thomas Kassim Kiungo

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer 1 Faustine Madasha Pilula

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer 1 Yohana Nathaniel Lemanya

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer 1 Jomnas Philipo Mhango

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer II Nuhu Haji Ame

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer II Hezron Donald Swebe

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer II Asante Tuyate Zambi

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Sajini Taji Mkanga Amour
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Sajini Peter BaltinI

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Luteni Jenerali (mstaafu) Martin Nikusubula Mwakalindile

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Meja Jenerali (mstaafu) Nicolaus Fulko Miti

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Brigedia Jenerali (Mstaafu) Hassan Athuman Ngwilizi

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Brigedia Jenerali (Mstaafu) Wilfred Paul Mwakalambile Kabunda

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali (Mstaafu) Juma Mgeni Khamis

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali (Mstaafu) Said Ally Mtonga

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali (Mstaafu) Limbe Sylvester Masanja

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Luteni Kanali (Mstaafu) Maulid Jescha Pandu

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali (Mstaafu) Said Mussa Hassan

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Meja Sartunini John Lubuva
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Kapteni Issa Pandu Haji

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Asajile Mwapondo Swebe

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Khamis Ussi Faki

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Sajini Kassimu Makame Haji

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Hamid Ame Juma

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Praveti (Mstaafu) Haji Hamada Hamza

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Meja Ayubu Swedi Twalipo

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Kapteni Bruno Stansilaus Mtillu

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Warrant Officer II Hamad Issa Sharifu

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Warrant Officer II Othuman Mohamed Mpemba

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Warrant Officer II Mzee Ally Juma

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Koplo William Simon Laizer
Viongozi wakisimama mguu sawa kwa wimbo wa Taifa baada ya zoezi la kutunuku Shahada

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiwa mguu sawa kwa wimbo wa Taifa

Majenerali mbalimbali

Makamanda wa Jeshi la Magereza

JWTZ Brass Band ikipiga wimbo wa Taifa

Makamanda wakipiga saluti wakati wimbo wa Taifa ukipigwa

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na Watunukiwa wote

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na Watunukiwa

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na majanerali

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na Watunukiwa wastaafu na wawakilishi

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wastaafu baada ya picha na Watunukiwa

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na kamati ya maandalizi

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na wanahabari wa mkoa wa Arusha

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na Viongozi wa dini
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na mke wa Rais wa awamu ya Pili Mama Hadija Mwinyi

Rais wa Awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi akiwa na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinga, Waziri Mkuu Mstaafu Mhe John Samwel Malecela, Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Edward Lowassa na WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Mhe Steven Wasira

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ
|
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ