RAIS ATUNUKU NISHANI KATIKA SHEREHE ZILIZOFANYIKA CHUO CHA MAFUNZO YA MAAFISA WA JESHI TANZANIA, MONDULI (TMA) TAREHE 06,2014

A

Bendi ya jeshi la wananchi JWTZ ya Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa jeshi TMA ikiongozwa na Maj. Ramadhani Salum Mangapi ikiburudisha wakati wa sherehe hizo zilizofanyika Ukumbi wa Jenerali Tumaini Kiwelu

 NISHANI

 Nishani alizotunuku Amri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ni kama ifuatavyo.

 1.NISHANI YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANI:

Nishani hii imetolewa kwa maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania watakaokuwepo katika utumishi hai tarehe 1 Septemba,2014

 2,NISHANI YA OPERESHENI SAFISHA MSUMBIJI 1986 – 1988

Nishani hii imetolewa kwa maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania walioko kwenye utumishi,waliostaafu na waliofariki ambao walishiriki katika Operesheni Safisha Nchini Msumbiji Mwaka 1986 hadi 1988

jk1

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akiwa na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda, Rais wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Wazii wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Mstaafu John Samwel Malecela,Waziri Mkuu Mstaafu Edrward Lowassa na Mkuu wa Mkoa wa Arush Mhe Magese Mulongo baada ya kuwasili katika Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa Jeshi Tanzania, Monduli, Mkoa wa Arusha

jk2

 Rais wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, , Waziri Mkuu Mstaafu John Samwel Malecela,Waziri Mkuu Mstaafu Edrward Lowassa, na Mama Hadija Mwinyijk3

 Viongozi wa dini mbalimbali

 

jk4

 Viongozi wa dini mbalimbali

 

jk5

 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Florens Turuka na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George Yambesi na viongozi wengine 
jk7

 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiwa na Rais wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, , Waziri Mkuu Mstaafu John Samwel Malecela,Waziri Mkuu Mstaafu Edrward Lowassa, na Mama Hadija Mwinyi
jk6

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa tayari kutunuku shahadaPG4A4612 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ,  Mkuu wa majeshi  ya Ulinzi nchini,  Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe  za kutunuku nishani zilizofanyika kwenye ukumbi wa   Jenerali Kiwelu wa Chuo cha Mafunzo ya Maafisa  wa Jeshi Tanzania, Mondulijk8
 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ, Mnadhimu Muu wa majeshi  ya Ulinzi nchini, Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba   katika sherehe  za kutunuku nishani zilizofanyika kwenye ukumbi wa   Jenerali Kiwelu wa Chuo cha Mafunzo ya Maafisa  wa Jeshi Tanzania, Monduli

jk9

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Luteni Jenerali Charles Lawrence Mkakalajk10

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ  Meja Jenerali Salum Mustafa Kijuu

jk11

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Meja Jenerali Raphael Mugoya Muhuga

jk12

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Meja Jenerali Joseph Furaha Kapwani

jk13

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Brigedia Jenerali Jackson King Mremajk14

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali

jk15

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Brigedia Jenerali Rogasian Shaaban Laswai

jk16

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Brigedia Jenerali Clemence Quadrates Kahama

jk17

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Brigedia Jenerali Hamis Issa Majumba

jk18

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Brigedia Jenerali Saleh Omar Semtuajk19

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Brigedia Jenerali Ezra Wilson Ndimgwango

jk20

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Kanali Mauro Kaburule Mhagama

jk21

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Kanali Jacob Gidion Kingu

jk22

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Meja Baganchwera Traseas Rutambuka

jk24

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Meja Asha Omar Matanza

jk25

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Meja Jackson John Kalambo

jk26

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Meja Mathias Petro Mnkenyijk27

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Sajini Maria Daniel Marahu

jk28

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Koplo Aziza Said Jalala

jk29

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Koplo Tamasha Hemed Kondo

jk30

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba

jk32

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Brigedia Jenerali Joseph Cosmas Chengelela

jk33

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali Anthony Solomon Msinday 

jk34

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali Justine Marwa Munankajk31

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Brigedia Jenerali Aaron Robert Lukyaajk35

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Meja Thomas Kassim Kiungo

jk36

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer 1 Faustine Madasha Pilula 

jk37

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer 1 Yohana Nathaniel Lemanya

jk38

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer 1 Jomnas Philipo Mhango

jk39

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer II Nuhu Haji Ame

jk40

  Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer II Hezron Donald Swebe

jk41

  Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Warrant Officer II Asante Tuyate Zambi

jk42

  Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Sajini Taji Mkanga Amourjk43

  Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Sajini Peter BaltinI 

jk44

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Luteni Jenerali (mstaafu) Martin Nikusubula Mwakalindile

jk45

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Meja Jenerali (mstaafu) Nicolaus Fulko Miti

jk46

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Brigedia Jenerali (Mstaafu) Hassan Athuman Ngwilizi

jk47

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Brigedia Jenerali (Mstaafu) Wilfred Paul Mwakalambile Kabunda

jk48

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali (Mstaafu) Juma Mgeni Khamis

jk49

  Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali (Mstaafu) Said Ally Mtonga

jk50

  Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali (Mstaafu) Limbe Sylvester Masanja

jk51

  Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Luteni Kanali (Mstaafu) Maulid Jescha Pandu

jk52

  Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Kanali (Mstaafu) Said Mussa Hassan

jk53

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Meja Sartunini John Lubuvajk54

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Kapteni Issa Pandu Haji

jk55

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Asajile Mwapondo Swebe

jk56

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Khamis Ussi Faki

jk57

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Sajini Kassimu Makame Haji

jk58

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Hamid Ame Juma

jk59

  Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Praveti (Mstaafu) Haji Hamada Hamza

jk60

  Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Meja Ayubu Swedi Twalipo

jk61

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Kapteni Bruno Stansilaus Mtillu

jk62

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Warrant Officer II Hamad Issa Sharifu

jk63

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa  Warrant Officer II Othuman Mohamed Mpemba

jk64

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Warrant Officer II Mzee Ally Juma

jk65

 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Operesheni Safisha Msumbiji Mwakilishi wa Koplo William Simon Laizerjk66

 Viongozi wakisimama mguu sawa kwa wimbo wa Taifa baada ya zoezi la kutunuku Shahada

jk67

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiwa mguu sawa kwa wimbo wa Taifa

jk68

 Majenerali mbalimbali 

jk69

 Makamanda wa Jeshi la Magereza

jk70

 JWTZ Brass Band ikipiga wimbo wa Taifa

jk71

 Makamanda wakipiga saluti wakati wimbo wa Taifa ukipigwa

jk72

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na Watunukiwa wote

jk73

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na Watunukiwa

jk74

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na majanerali

jk75

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na Watunukiwa wastaafu na wawakilishi

jk76

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wastaafu baada ya picha na Watunukiwa 

jk77

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na kamati ya maandalizi 

jk78

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na wanahabari wa mkoa wa Arusha

jk79

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na Viongozi wa dini
jk80

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na mke wa Rais wa awamu ya Pili Mama Hadija Mwinyi

jk81

 Rais wa Awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi akiwa na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinga, Waziri Mkuu Mstaafu Mhe John Samwel Malecela, Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Edward Lowassa na WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Mhe Steven Wasira

jk82

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ

jk83

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ

jk84

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ

jk85Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *