Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya muda mfupi kabla ya kuanza mazungumzo juu ya mzozo wa Burundi Mei 31, 2015
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini muda mfupi kabla ya kuanza mazungumzo juu ya mzozo wa Burundi Mei 31, 2015
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu Rais Yoweri Museven wa Uganda muda mfupi kabla ya kuanza mazungumzo juu ya mzozo wa Burundi Mei 31, 2015
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu Rais Yoweri Museven wa Uganda akisalimiana na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini muda mfupi kabla ya kuanza mazungumzo juu ya mzozo wa Burundi Mei 31, 2015
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Dkt.Nksazana Dlamini Zuma Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa mazungumzo ya amani ya Burundi Mei 31,2015