Daily Archives: August 23, 2016

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WA ITALIA, KOREA, SOMALIA NA IRELAND IKULU JIJINI DAR ES SALAAM AGOSTI 23,2016

1Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Italia hapa nchini Roberto Mengoni Ikulu jijini Dar es Salaam.

2Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi wa Italia hapa nchini Roberto Mengoni mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam Agosti 23,2016

4jjjbjbjbRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Jamhuri ya kidemokrasia ya watu wa Korea hapa nchini Kim Yong Su Ikulu jijini Dar es Salaam.

6

 

6. Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Jamhuri ya kidemokrasia ya watu wa Korea hapa nchini Kim Yong Su mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.

7Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Somalia hapa nchini Mohammed Hassan Abdi mara baada ya kuwasili Ikulu kwa ajili ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho.

8Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Somalia hapa nchini Mohammed Hassan Abdi mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam

10.Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ireland hapa nchini Paul Sherlock Ikulu jijini Dar es Salaam.

11Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Balozi wa Ireland hapa nchini Paul Sherlock mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.

12. Rais Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Balozi wa Ireland hapa nchini Paul Sherlock mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam

13Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimsindikiza Balozi wa Ireland hapa nchini Paul Sherlock mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WA KAMPUNI YA STAT OIL YA NORWAY IKULU JIJINI DAR ES SALAAM AGOSTI 22,2016

1Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwakilishi wa Kampuni ya Mafuta ya Stat Oil ya Norway, Bw. Oystein Michelsen kabla ya kupokea taarifa ya maendeleo ya mradi mkubwa wa ujenzi wa kiwanda cha kusindika gesi asili (LNG Plant) kinachotarajiwa kujengwa katika eneo la Likon’go, Mchinga Mkoani Lindi.

2 Rais Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Meneja Biashara wa Kampuni ya Stat Oil ya Norway Oivind Holm Karlsen (watatu) kutoka kushoto mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam. Wapili kutoka kushoto ni Mwakilishi wa Kampuni hiyo, Bw. Oystein Michelsen

tumiaRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea jambo wakiawa pamoja na viongozi wa ngazi ya juu wa Shirika la mafuta Tanzania (TPDC) pamoja na viongozi wa kampuni ya Mafuta ya STAT OIL Ikulu jijini Dar es salaam