Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtunuku Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi cheti cha pongezi na shukrani katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtunuku cheti cha pongezi na shukrani mwenyekiti wa Kamati Maalumu ya Uchunguzi wa Makinikia Profesa Osolo katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtunuku Mwenyekiti wa Kamati ya Kwanza ya Makinikia Profesa Abdulkarim Mruma cheti cha pongezi na shukrani katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Katibu wa Bunge Mhe. Stephen Kagaigai baada ya kumtunuku Spika Job Ndugai (kupitia kwa mkewe Mama Fatuma Ndugai) cheti cha pongezi na shukrani katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtunuku Profesa Florens Luoga cheti cha pongezi na shukrani kabla ya kumteua kuwa Gavana mpya wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia baada ya kutunuku vyeti vya pongezi na shukrani kwa wajumbe wa Kamati Maalumu za Uchunguzi na Majadiliano kuhusu Rasilimali za madini nchini katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya kumbukumbu baada kutunuku vyeti vya pongezi na shukrani kwa wajumbe wa Kamati Maalumu za Uchunguzi na Majadiliano kuhusu Rasilimali za madini nchini katika hafla iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017.
Mhe. Mussa Azzan Zungu, Mwenyekiti wa kamati Maalumu ya Bunge ya kuchunguza mfumo bora wa uchimbaji, usimamizi, umiliki na udhibiti wa biashara ya Madini ya Almasi wajumbe wa Kamati Maalumu za Uchunguzi na Majadiliano kuhusu Rasilimali za madini nchini katika hafla ya kutunuku vyeti vya pongezi na shukrani kwa wajumbe wa Kamati Maalumu za Uchunguzi na Majadiliano kuhusu Rasilimali za madini nchini iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry Ally akiongea katika hafla ya kutunuku vyeti vya pongezi na shukrani kwa wajumbe wa Kamati Maalumu za Uchunguzi na Majadiliano kuhusu Rasilimali za madini nchini iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba akiongea katika hafla ya kutunuku vyeti vya pongezi na shukrani kwa wajumbe wa Kamati Maalumu za Uchunguzi na Majadiliano kuhusu Rasilimali za madini nchini iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe,Dkt John Pombe Magufuli akipeana mkono na Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba katika hafla ya kutunuku vyeti vya pongezi na shukrani kwa wajumbe wa Kamati Maalumu za Uchunguzi na Majadiliano kuhusu Rasilimali za madini nchini iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe,Dkt John Pombe Magufuli akipeana mkono na mwenyekiti wa UDP Mhe John Cheyokatika hafla ya kutunuku vyeti vya pongezi na shukrani kwa wajumbe wa Kamati Maalumu za Uchunguzi na Majadiliano kuhusu Rasilimali za madini nchini iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi akiongea katika hafla ya kutunuku vyeti vya pongezi na shukrani kwa wajumbe wa Kamati Maalumu za Uchunguzi na Majadiliano kuhusu Rasilimali za madini nchini iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi na wageni wengine kupata chakula cha mchana baada ya hafla ya kutunuku vyeti vya pongezi na shukrani kwa wajumbe wa Kamati Maalumu za Uchunguzi na Majadiliano kuhusu Rasilimali za madini nchini iliyofanyika Ikulu jijjini Dar es salaam Oktoba 23, 2017
Gavana wa Benki Kuu mteule Profesa Florens Luoga mara baada ya kuteuliwa na mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli katika hafla ya kutunikiwa vyeti vya pongezi na shukrani wajumbe wa kamati maalumu za madini,hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es salaam oktoba 23,2017.