RAIS MAGUFULI AONANA NA MABALOZI WA CHINA NA KOREA KUSINI PAMOJA NA PROFESA LIPUMBA IKULU NOVEMBA 30,2015

12fvvf vf

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 30, 2015

1bfc9020-f6ae-42dc-bbe9-e7f9b8f9dcaa

 

 

83ec41a5-6dda-4b12-81c5-0eb83bbc9aa2

 

 

03e9346a-8d03-47a6-9be2-458933ce4032Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Korea ya Kusini  hapa nchini Mhe. Chung IL Ikulu jijini Dar es salaam leo Novemba 30, 2015. Balozi huyo pia alitumia nafasi hiyo kumuaga Rais kwa kuwa muda wake wa kufanya kazi nchini umemalizika.

6e00290a-8874-4100-afe6-ad1267f7e787

 

 

337b70ca-7868-4134-bf09-d1339aa45de0Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba  Ikulu jijini Dar es salaam leo Novemba 30,2015 Profesa Lipumba amempongeza Rais kwa kuchaguliwa kwake kwa kishindo na pia ameipongeza hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa wakati wa kufungua Bunge la 11 mjini Dodoma

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *