RAIS DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE APOKEA RASIMU YA MWISHO YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA OKTOBA 08,2014 – UWANJA WA JAMHURI DODOMA

1nmnn

 

shein Mwenyekiti wa Bunge maalum la Katiba Mhe.Samuel Sitta akikabidhi rasimu ya katiba inayopendekezwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt.Mohamed Ali Shein katika hafla iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 08, 2014inua

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt.Mohamed Ali Shein  wakiwa wameinua juu Rasimu ya Katiba inayopendekezwa katika hafla iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 08, 2014     1 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili na kusalimiana na Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi   uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 08,20141b

 

 

1c

 

1d

 

1e Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili na kusalimiana na viongozi  uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 08,2014waz mkuu

 

 

1f Heshima kwa wimbo wa Taifa 2

Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mohamed Gharib Bilali mara baada ya kuwasili uwanja wa Jamhuri Dodoma

mabalozi .2

 

mabalozi

Mabalozi wa Nchi mbalimbali wakifuatilia matukio katika hafla yakukabidhi Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt.Mohamed Ali Shein  iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 08, 2014

4

 

3

Wajumbe wa Bunge la Katiba wakifuatilia matukio katika hafla yakukabidhi Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt.Mohamed Ali Shein  ya iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 08, 2014

5

Wakuu wa mikoa  wakifuatilia matukio katika hafla yakukabidhi Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt.Mohamed Ali Shein  ya iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 08, 2014

mawaziri

Wajumbe wa Bunge la Katiba wakifuatilia matukio katika hafla yakukabidhi Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt.Mohamed Ali Shein  ya iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 08, 20141

 

2

Wajumbe wa Bunge la Katiba  akinamama wakicheza na kuimba wakati hafla yakukabidhi Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt.Mohamed Ali Shein  ya iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 08, 2014