RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AZINDUA BARABARA YA KILOMITA 26 YA KIA-MERERANI MKOA WA MANYARA SEPTEMBA 20,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bi.Anna Mgwila mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro KIA na kuelekea Mererani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara kwaajili ya ufunguzi wa barabara ya KIA – MERERANI yenye urefu wa km26. Septemba,20 ,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mkuu wa mkoa wa Arusha Bw.Mrisho Gambio mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro KIAna kuelekea Mererani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara kwaajili ya ufunguzi wa barabara ya KIA – MERERANI yenye urefu wa km26. Septemba,20 ,2017.

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembea pamoja  na wakuu wa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha mata baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuelekea katika uzinduzi wa barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara Septemba 20,2017

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa kwa furaha na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Joel Bendera alipowasili kuzindua barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara lSeptemba 20, 2017

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia maelfu ya wananchi alipowasili Mererani kuzindua barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara Septemba 20,2017

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia maelfu ya wananchi alipowasili Mererani kuzindua barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara Septemba 20,2017

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisoma moja ya mabango ya wananchi waliojitokeza  katika uzinduzi wa barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara Septemba 20,2017

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiteta jambo na wakuu wa mikoa ya Manyara na Arusha katika uzinduzi wa barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara Septemba 20,2017

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mbunge wa Simanjiro Mhe. James Ole Milya kwenye sherehe ya kuzindua barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara Septemba 20, 2017.

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi wa Mererani wakati wa kuzindua barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara Septemba 20, 2017.

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishangiliwa na wananchi wakati wa hotuba yake ya  kuzindua barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara Septemba 20, 2017.

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizinfdua rasmi barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara Septemba 20, 2017

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Ua Mbunge wa Simanjiro Mhe. James Ole Milya mara baada ya kuzindua barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara Septemba 20, 2017.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *