Picha mbalimbali Mhe. Rais Dkt. J.P.Magufuli akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua ikulu ya chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimthibitisha Bw.  James Wilbert Kaji kuwa Kamishna  Generali wa Mamlaka ya  udhibiti  wa Dawa za kulevya  nchini  (DCEA),  kabla ya kuapishwa   Kamishina Jenerali James Kaji alikua akikaimu nafasi hiyo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli aki ongea baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali alio waapisha ikulu ya chamwino  leo.

Kutoka kushoto   Katibu  Tawala  wa mkoa  wa Simiyu ,Mariam  Perla  Mmbaga,  Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe. Dkt. Philemon Rugumiliza Sengati na CP, Thobias  Emir  Andengenye  mkuu wa mkoa  wa Kigoma  wakila kiapo cha maadili baada ya kuapishwa mapema leo.

Wakuu wa wilaya wateule  wakila kiapo cha maadili  baada ya kuapishwa na Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli  mapema leo julai 06-2020

 Bi. Mariam  Perla  Mmbaga akiapa mbele ya  Mhe. Rais  Dkt. J.P.Magufuli  Kuwa Katibu  Tawala  wa mkoa  wa Simiyu  hafla iliofanyika  ikulu ya Chamwino  Dodoma   julai 06 – 2020

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha CP wa Polisi Thobias Emir Andengenye kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia Mkuu wa Morogoro Mhe. Loatha Ole  Sanare akimuapisha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Ismail Twahir Mlawa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakishuhudia Mkuu wa Mkoa wa Pwani akimuapisha Mhandisi Martine Ntemo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020

Wateuliwa wakila kiapo cha maadili ya Viongozi mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na watumishi na viongozi mbalimbali  baada ya  hafla ya uapisho wa viongozi mbalimbali aliowateua  kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Dodoma Julai 6, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka baada ya kumalizika kwa hafla ya  kuwaapisha viongozi mbalimbali alio waapisha ikulu ya chamwino  julai 06-2020.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *