Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika gari maalumu wakati akiingia uwanja wa Jamhuri stadium kuapishwa urais kuongoza kwa awamu ya pili baada ya kushinda tena kwa aslimia 84 za kura zote zilizo pigwa katika uchaguzi wa mwaka huu, Mhe rais Dkt Magufuli ameapishwa uwanja wa Jamhuri Dodoma leo tarehe 5 Novemba 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiapa kuongoza nchi kwa awamu ya pili ya miaka mitano, uwanja wa Jamhuri Dodoma leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi hati ya kiapo kwa Katibu mkuu Kiongozi baada ya kumaliza kuapa kuongoza nchi katika madaraka ya Rais wa muungano leo tarehe 05 Novemba 2020 katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma
Makamo wa rais mhe. Samia Suluhu Hassan akiapa mara baada ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kumaliza kuapa mapema leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkuu wa majeshi Brigedia jenerali Venance Mabeyo wakati Mhe rais Magufuli akikagua gwaride lililoandaliwa kwa ajili yake