Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe akiwasili mapema leo mchana kwenye uwanja wa ndege wa KIA.Rais Mugabe anatarajiwa kufungua Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China litakaloanza leo mjini Arusha.
Mgeni rasmi wa kongamano la tatu la viongozi vijana wa Africa na china Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe akihutubia kwenye Kongamano hilo katika moja ya ukumbi wa mikutano katika Hotel ya Ngurdoto mjini Arusha
Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika kongamano la tatu la viongozi vijana wa Africa na china, kwenye Kongamano hilo katika moja ya ukumbi wa mikutano katika Hotel ya Ngurdoto mjini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipewa tuzo ya Heshima ya juu ya kuhamasisha amani na utulivu barani Afrka na Rais wa umoja wa Afrika (PAYU) Francine furaha muyumba,Tuzo hiyo hutolewa na Umoja wa Vijana wa Umoja wa Afrika picha kushoto ni mkuu wa wilaya ya mfindi mhe.mboni mbita
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na mgeni wake Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe alipofika Arusha Machi 28, 2015 kwa ajili ya kufungua Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China.