Monthly Archives: March 2015

RAIS DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE ZIARANI MAREKANI KWA MWALIKO WA UMOJA WA MATAIFA MACHI 29, 2015

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili, Machi 29, 2015 amewasili jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.

Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefungua rasmi jengo la ghorofa sita la
Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC – UN).
Rais Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa Dkt Mahadhi Juma Maalim alipowasili jijini New York, Marekani.

  

Rais Kikwete akisalimiana na Waziri wa  Kazi na Ajira, Mhe. Gaudensia Kabaka anayefuatiwa na Waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee 

Jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani

Rais Kikwete akikata utepe kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani

Rais Kikwete akisalimiana na baadhi ya  Wawakilishi wa Kudumu kutoka nchi mbalimbali walioalikwa kushuhudia ufunguzi wa  jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani


Rais Kikwete akisalimiana na wakandarasi wa ujenzi  wa  jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani

Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalumu Mhe.Naomi Mwakyoma Kaihula katika ufunguzi wa  jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani

Rais Kikwete akifunua pazia kama ishara ya kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani


Rais Kikwete na pamoja na Mwakilishi wa Kudumu Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi na wageni waakikwa wakipiga makofi mara alipofungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani

 

Rais Kikwete akiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa Dkt Mahadhi Juma Maalim (kulia) na Mwakilishi wa Kudumu Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi mara alipofungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani

 

 Rais Kikwete akisalimiana na maafisa wa Wizara ya Mambo y Nje na Ushirikiano wa Kimataifa baada ya  kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani


Rais Kikwete akikagua ofisi katika jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Kushoto ni Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi 

 

Rais Kikwete akiangalia picha za waliopata kuwa Wawakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa baada ya  kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani

 

Rais Kikwete akiangalia picha za waliopata kuwa Wawakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa baada ya  kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Nyuma yake ni Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi 


Rais Kikwete akisaini kitabu cha wageni baada ya kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani, Akiangalia ni Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi 
Rais Kikwete akihutubia mara alipofungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Wawakilishi wa nchi mbalimbali za za Afrika katika Umoja wa Mataifa baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akatika picha ya pamoja na wafanyakazi wa ubalozini hapo  baada ya kufungua  rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani

 

Rais Kikwete akatika picha ya pamoja na wafanyakazi wakandarasi wa ujenzi wa jengo baada ya  kulifungua  rasmi jengo hilo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani

 

 

 

 

 

 

 

RAIS WA ZIMBABWE ROBERT MUGABE AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA AFRICA NA CHINA, RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUNUKU TUNZO YA HESHIMA MACHI 28,2015

8

 

7

 

6

 

5

 

Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe akiwasili mapema leo mchana  kwenye uwanja wa ndege wa KIA.Rais Mugabe anatarajiwa kufungua  Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China litakaloanza leo mjini Arusha. 

_MG_6224

 

 

_MG_6315

Mgeni rasmi wa kongamano la tatu la viongozi vijana wa Africa na china  Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe akihutubia kwenye Kongamano hilo katika moja ya ukumbi wa mikutano katika Hotel ya Ngurdoto mjini Arusha 

3

Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika  kongamano la tatu la viongozi vijana wa Africa na china,   kwenye Kongamano hilo katika moja ya ukumbi wa mikutano katika Hotel ya Ngurdoto mjini Arusha 

TUNZO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipewa tuzo ya Heshima ya juu ya kuhamasisha amani na utulivu barani Afrka na Rais wa umoja wa Afrika (PAYU) Francine furaha muyumba,Tuzo hiyo hutolewa na Umoja wa Vijana wa Umoja wa Afrika picha kushoto ni mkuu wa wilaya ya mfindi mhe.mboni mbita

2jffvghfgjhv

Rais Jakaya Mrisho Kikwete  akiteta jambo na mgeni wake Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe alipofika Arusha Machi 28, 2015 kwa ajili ya  kufungua Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China.