Daily Archives: April 26, 2015

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA AMIR JESHI MKUU DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR, UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM

2jfhfh

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amir Jeshi Mkuu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipunga mkono kuwasalimia wananchi wakati alipokuwa akiwasili kwenye Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es salaam, April 26, 2015 kwa ajili ya kuhudhuria Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Davis Mwamunyange 

11nedjcedu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amir Jeshi Mkuu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la heshima, wakati wa sherehe za Maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam  April 26, 2015

12hdhdh

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amir Jeshi Mkuu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amesimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa na kupokea heshima ya mizinga 21 katika Sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam Aprili 26, 2015

D92A7974

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amir Jeshi Mkuu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Rais wa Zanzibar  Dkt. Ali Mohamed Shein wakifuatilia kwa karibu sherehe za Maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam  April 26, 2015 . Kulia  ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Davis Mwamunyange

D92A7999

 

D92A8045

 

D92A8144

 

1 (2)

 

22

Vikosi vya ulinzi na usalama vikitoa heshima mbele ya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amir Jeshi Mkuu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete  katika Sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam Aprili 26, 2015

M

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake , wakati wa sherehe za Maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam  April 26, 2015