Monthly Archives: July 2016

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AHUTUBIA WAKAZI WA MANYONI,IKUNGI NA MJI WA SINGIDA JULAI 29,2016

A

 

8Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhandisi Mathew Mtigumwe akimpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mama Janet Magufuli mara baada ya kuwasili katika Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.

1WHEFEBB

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia ya wakazi wa Manyoni Mkoani Singida mara baada ya kuwasili katika Wilaya hiyo akiwa njiani kuelekea mkoani Singida.

DSC_9936Wananchi wa Manyoni akishangilia Hotuba nzuri ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa katika mkutano wa Hadhara kwenye Uwanja vya Shule ya Msingi Tambuka Reli Manyoni Mkoani Singida.

12Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwasalimia wakazi wa Manyoni mara baada ya kuwasili

1

 

2

 

3

 

4Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia wakazi wa Manyoni mara baada ya kumaliza kuhutubia katika Uwanja wa Shule ya Msingi Tambuka Reli Manyoni Mkoani Singida.

222222Mbunge wa manyoni Magharibi Yahya Masare akicheza ngoma na kikundi cha Ngoma za asili cha Manyoni kabla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Magufuli kuhutubia mkutano katika Uwanja wa Shule ya Msingi Tambuka Reli Manyoni Mkoani Singida

ikungiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Ikungi waliomsimamisha wakati akielekea Mkoani Singida

1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akiongea na maelfu ya wananchi wa mji wa Singida alipofanya Mkutano Mjini Singida Julai 29,2016

4

 

2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akipokea Mkuki na Ngao kutoka kwa Mzee Joram Alute kwa niaba ya Wazee wa mkoa wa singida kama Ishara ya Ushujaa kwa kazi nzuri anayoifa katika kuliletea Taifa maendeleo mara baada ya kuongea na maelfu ya wananchi wa mji wa Singida alipofanya Mkutano Mjini Singida Julai 29,2016

5Mke wa Rais Mama Janet Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji wa Singida

3.

 

 

3Aliyekuwa mbunge wa Singida mjini Mohammed Dewji pamoja na wananchi wa mji wa Singida wakifuatilia na kushangilia hotuna iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli alipoongea na maelfu ya wananchi wa mji wa Singida alipofanya Mkutano Mjini Singida Julai 29,2016

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AWAAPISHA MWENYEKITI PAMOJA NA KATIBU WA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU (TSC) IKULU CHAMWINO MKOANI DODOMA JULAI 27,2016

1gchkdkjRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Oliva Joseph Mhaiki kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma julai 27,2016

2gdsjdhdhRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Winfrida Gaspa Rutaindurwa kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma Julai 27,2016

4Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Oliva Joseph Mhaiki (watatu kutoka kushoto) pamoja na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Winfrida Gaspa Rutaindurwa (watatu kutoka kulia) mara baada ya kuwaapisha. Wengine katika picha ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa , Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Seleman Jafo 

3Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Oliva Joseph Mhaiki (kushoto) pamoja na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Winfrida Gaspa Rutaindurwa (kulia) mara baada ya kuwaapisha ) katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma.

5. Rais Dkt. John Magufuli akisalimiana na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Seleman Jafo mara baada ya tukio la uapisho katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma. Katikati ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

6Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpongeza Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Oliva Joseph Mhaiki mara baada ya tukio la uapisho wa Mwenyekiti huyo pamoja na Katibu wa Tume hiyo katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodom