Daily Archives: January 11, 2016

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI JANUARI 11,2016 AMEMPA POLE MAMA MARIA NYERERE KUFATIA KUFIWA NA MKWE WAKE BI LETICIA NYERERE

DSC_5298

 

DSC_5299

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Mama Maria Nyerere kufatia kufiwa na Mkwe wake Bi Leticia Nyerere aliyefariki huko nchini Marekani. Rais alikwenda nyumbani kwa Baba wa Taifa Msasani Dar es salaam kumpa pole Mama nyerere Januari 11,2016

DSC_5339

 

DSC_5342Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapa pole wanafamilia alipofika nyumbani kwa Baba wa Taifa Msasani Dar es salaam kumpa pole Mama nyerere Januari 11,2016

DSC_5310

 

DSC_5311

 

 

04cd07da-4b95-41a0-9ebf-7626ce65ff43

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipata maelezo juu ya uataratibu wa msiba kutoka kwa mwanafamilia Joseph Butiku

DSC_5332

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika picha ya pamoja na wanafamilia

833a85e1-0dc6-4167-b301-36595a62ee80

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha Mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani. 

 

 

RAIS DKT JOHN JOSEPH MAGUFULI AMJULIA HALI WAZIRI MKUU MSTAAFU SUMAYE ALIYELAZWA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JANUARI 11,2015

DSC_5253

 

qweddzd

 

DSC_5254

 

DSC_5261

 

DSC_5262 Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimpa pole Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Freredick Sumaye alipokwenda kumjulia hali katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam Januari 11, 2016  

DSC_5276

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Freredick Sumaye na Mama Esther Sumaye alipokwenda kumjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu huyo Mhe Freredick Sumaye katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam Januari 11, 2016