Daily Archives: March 15, 2016

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMEWAAPISHA WAKUU WA MIKOA, KAMISHINA MKUU WA TRA, NA MKURUGENZI MKUU WA PCCB IKULU JIJINI DAR ES SALAAM MARCHI 15,2016

1.

 

1a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Said Meck Sadiki kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjalo Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

2.

 

2a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Said Joel Nkaya Bendera kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

3

 

3a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg.Dkt. Rehema Jonathan Nchimbi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

4.

 

4a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Said Said Thabit Mwambungu kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

5.

 

5a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Mhandisi Evarist Welle Ndikilo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

6.

 

6a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Magesa Stanslaus Mulongo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara  Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

7.

 

7a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Amina Juma Masenza kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

8.

 

8a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. John Vianney Kitayomba Mongella kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

9.

 

9a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Halima Omary Dendego kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

10.

 

10a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Daudi Felix Ntibenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

11.

 

11a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Amos Gabriel Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

12.

 

12a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Jordan Mugirage Rugimbana kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

13.

 

13a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Aggrey Deaisile Joshua Mwanri kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

14.

 

14a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Godfrey Weston Zambi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

15.

 

15a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe  kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

16.

 

16a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Anne Kilango Malecela kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

17.

 

17a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Anthony John Mtaka  kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

18.

 

18a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Zelote Steven Zelote  kuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

19.

 

19a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Paul Christian Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam  Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

20.

 

20a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Martine Reuben Shigela kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

21.

 

21a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Meja jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

22.

 

22a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Meja jenerali Mstaafu Raphael Mugoya Muhunga kuwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

23.

 

23a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Meja jenerali Mstaafu Ezekiel Elias Kyanga kuwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

24.

 

24a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Edward Maganga kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

25.

 

25a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Mhandisi Mathew John Mtigumwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

26.

 

26a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Ndg. Alphayo Japani Kidata  kuwa  kamishna Mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania  Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016

27

 

27a.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha na kumkabidhi vitendea kazi Kamishina wa Polisi Valentino Mlowa  kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa  Ikulu jijini Dar es salaam Marchi 15,2016