Monthly Archives: July 2016

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MWENYEKITI WA CCM TAIFA DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA SEKRETARIETI, MAKAO MAKUU YA CCM MJINI DODODMA JULAI 27,2016

 Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,  Dkt. John Magufuli akiwasili ukumbini, kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma, Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula na Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Waziri Mkuu Majaliwa KassimMajaliwa, Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Dkt. John Magufuli akiwasili ukumbini, kuzungumza na Wajumbe wa  Sekretarieti ya CCM, Makao Makuu ya CCM, . Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula na na kshoto baadhi yao ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Waziri Mkuu Majaliwa KassimMajaliwa, Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye. 

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (aliyesimama) akitoa maneno ya utangulizi kumkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa,  Dkt. John Pombe Magufuli kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM, Makamo Makuu ya CCM mjini Dodoma 

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MWENYEKITI WA CCM TAIFA , DKT. MAGUFULI AKIWASILI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula alipowasili Makamo Makuu ya CCM, kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Zakia Hamdan Meghji alipowasili Makamo Makuu ya CCM, kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti

  Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka,  alipowasili Makamo Makuu ya CCM, kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na  Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana naKatibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi, Seif Shaban Nasoro alipowasili Makamo Makuu ya CCM, kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti

 Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na  Mwenyekiti wa CCMTaifa , Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa UWT, Amina Makilagi  alipowasili Makamo Makuu ya CCM, kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti

 Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na  Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu UVCCM, Shaka Hamdu Shaka alipowasili Makamo Makuu ya CCM, kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti

 Rais wa Jamhuri ya miingano na  Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu wa Sekretarieti, Anamringi Macha alipowasili Makamo Makuu ya CCM kuzungumza na Wajumbe wa Sekretarieti

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa  Dkt. John Pombe Magufuli baada ya Mwenyekiti kuwasili Makao Makuu ya CCM, leo. Kushoto ni Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa na Wapili kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula 

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA (AFDB) DKT. FRANNIE LEUTIER IKULU NDOGO CHAMWINO MKOANI DODOMA JULAI 26,2016

1hdffjf

 

DSC_8332Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Frannie Leutier  pamoja na ujumbe wake Ikulu ndogo Chamwino Mkoani Dodoma Julai 26,2016

DSC_8475Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimewangalia  Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dkt Frannie Leutier akisaini kitabu alichotunga kabla ya kumkabidhi Rais alipomtembele Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma  Julai 26, 2016

DSC_8481Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipokea kitabu kutoka kwa   Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dkt Frannie Leutier alipomtembele Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma leo Julai 26, 2016 

DSC_8522Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dkt Frannie Leutier aliyemtembele Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma  kushoto ni Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji,  Julai 26, 2016. 

DSC_8499Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dkt Frannie Leutier  na ujumbe wake aliyemtembele Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma  Julai 26, 2016. Wa tatu kutokawa tatu kulia ni Mwakilishi wa Benki hio nchini, Dkt. Tonia Kandiero, kulia ni Mchumi Mkuu kutoka Idara ya Fedha za Nje Bw. Johannes Jovin akifuatiwa na Mkrugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Wizara mambo ya Nje Balozi Celestine Mushy. Kushoto ni Mshauri wa Rais Masuala ya Uchumi Profesa Longinus Rutasitara akifuatiwa na Mshauri wa Rais masuala ya Diplomasia Balozi Zuhura Bundala.