Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitia Saini Amri ya Rais kuvunja Mamlaka ya Usitawishaji wa Makao Mkuu Dodoma (CDA) Ikulu jijini Dar es salaam Mei. 15,2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati wa kutia sain Amri ya Rais kufuta Mamlaka ya Usitawishaji wa Makao Mkuu Dodoma (CDA) Ikulu jijini Dar es salaam Mei. 15,2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati wa kutia saini Amri ya Rais kufuta Mamlaka ya Usitawishaji wa Makao Mkuu Dodoma (CDA) Ikulu jijini Dar es salaam Mei. 15,2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na viongozi mbalimbali wa serikali kabla ya kutia saini Amri ya Rais kufuta Mamlaka ya Usitawishaji wa Makao Mkuu Dodoma (CDA) Ikulu jijini Dar es salaam Mei. 15,2017
Picha Juu ni viongozi mbalimbali wa Serikali waliohudhuria wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitia saini Amri ya Rais kufuta Mamlaka ya Usitawishaji wa Makao Mkuu Dodoma (CDA) Ikulu jijini Dar es salaam Mei. 15,2017
Waziri wa Sheria na katiba Prof. Palamagamba Kabudi akisoka rasimu Rais ya kufuta Mamlaka ya Usitawishaji wa Makao Mkuu Dodoma (CDA) Ikulu jijini Dar es salaam Mei. 15,2017
Waziri wa Aridhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akiongea jambo baada ya Rais kutia Saini Amri ya Rais kufuta Mamlaka ya Usitawishaji wa Makao Mkuu Dodoma (CDA) Ikulu jijini Dar es salaam Mei. 15,2017
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akiongea jambo baada ya Rais kutia Saini Amri ya Rais kufuta Mamlaka ya Usitawishaji wa Makao Mkuu Dodoma (CDA) Ikulu jijini Dar es salaam Mei. 15,2017
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Hassan Suluhu akiongea jambo baada ya Rais kutia Saini Amri ya Rais kufuta Mamlaka ya Usitawishaji wa Makao Mkuu Dodoma (CDA) Ikulu jijini Dar es salaam Mei. 15,2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya usitawishaji wa mji wa Dodoma CDA Eng Paskasi Damian Muragili mara baada ya Rais kufuta mamlaka ya usitawishaji wa makao Makuu Dodoma Ikulu jijini Dar es salaam Mei 15,2017