Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi kuhusu operesheni tokomeza Jaji (Mstaafu) Balozi Hamisi Amiri Msumi akimkabithi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Ripoti ya Uchunguzi wa Tume hiyo katika hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam April 10, 2015
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Tume ya Uchunguzi wa operesheni Tokomomeza ikulu April 10, 2015.