RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA PEMBA KATIKA UWANJA WA GOMBANI YA KALE KISIWANI PEMBA SEPTEMBA 2,2016

1..Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana kwa kukumbatiana kwa furaha na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein alipowasili katika uwanja wa Gombani ya kale Chake chake kisiwani Pemba kwa ajili ya kuhutubia wananchi wa Pemba Septemba 2,2016

1Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein kabla ya kuhutubia mkutano wa katika uwanja wa Gombani ya kale Chake chake kisiwani Pemba

5Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia ya wanchi wa Pemba katika uwanja wa Gombani ya kale Chake chake kisiwani Pemba Septemba 2,2016 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *