RAIS KIKWETE AFUNGUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII JIJINI DAR OCTOBER 02, 2014

1

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa Ufunguzi wa Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii “Swahili International Tourism Expo (SITE)” kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam  Oktoba 2,2014.

2

 

3

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishirikiana na viongozi mbali mbali kukata utepe ikiwa ni ishara ya Ufunguzi wa Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii “Swahili International Tourism Expo (SITE)” kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam  Oktoba 2,2014.

4

 

5

Sehemu ya Wageni kutoka nchi mbali mbali wakifatilia kwa makini hotuba ya Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  wakati wa Ufunguzi wa Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii “Swahili International Tourism Expo (SITE)” kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam Oktoba 2,2014.

6

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na viongozi wengine wakiwa kwenye picha ya pamoja baadhi Wafanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania,ambao ndio waratibu wakuu wa Maonyesho hayo ya  Kimataifa ya Utalii “Swahili International Tourism Expo (SITE)” kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam Oktoba 2,2014. 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *