RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMETEMBELEA SHIRIKA LA TAIFA LA UTANGAZAJI TBC NA KUONGEA NA WAFANYAKAZI MEI 16,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokelewa na Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison George Mwakyembe alipotembelea ofisi za Shirika la Taifa la Utangazaji TBC Mikocheni Dar es salaam na kuongea na wafanyakazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokelewa na Mkurugezi Mkuu wa Shirika la Habari na Utangazaji Ayob Rioba alipotembelea ofisi za Shirika la Taifa la Utangazaji TBC Mikocheni Dar es salaam na kuongea na wafanyakazi

 

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akioneshwa sehemu mbalimbali za studio za Redio na Televisheni za  Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) alipotembelea leo kuangalia uendeshaji wake na kuongea na watumishi. 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akiwa katika moja ya  studio za Televisheni za  Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na mtangazaji Bi. Asha Haji alipotembelea kuangalia uendeshaji wake na kuongea na watumishi

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akizungumza na watumishi Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) alipotembelea kuangalia uendeshaji wake na kuongea na watumishi

 

 

Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) wakimsikiliza  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli wakati alipotembelea Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) kuangalia uendeshaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akisikiliza kero mbalimbali za wafanyakazi wa  Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) alipotembelea kuangalia uendeshaji wake na kuongea na watumishi. 

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli katika picha ya pamoja na watumishi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) alipotembelea kuangalia uendeshaji wake na kuongea na watumishi. 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akitembezwa maeneo mbalimbali ya Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) alipotembelea kuangalia uendeshaji wake na kuongea na watumishi

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *