RAIS KIKWETE AWASILI DAR ES SALAAM, APATA MAPOKEZI MAKUBWA AKITOKEA NCHINI MAREKANI KWENYE MATIBABU NOVEMBA 29, 2014

8

 

7

 

6

 

5

 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wakuu wa vyombo vya ulinzi  baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea  Marekani kwenye matibabu  Novemba 29, 2014

11

 

9

 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mama Maria Nyerere baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29, 2014

13

 

12

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29, 2014

3

 

4ssss

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam baada ya kuwasili akitokea Marekani kwenye matibabu Novemba 29, 2014

14

 

15

 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiongea na Mama Maria Nyerere aliyefika kuwapokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu Novemba 29, 2014
17

 

16

 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na waandishi wa habari na viongozi mbalimbali waliokuja kumlaki baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29, 2014

19

 

 

20

 

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia wafanyakazi wa Ikulu waliojitokeza kumpokea mara baada ya kuwasili ikulu akitokea nchini Marekani kwenye matibabu
22

 

21mmmm

 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea mashada ya maua kutoka kwa wafanyakazi wa Ikulu waliojitokeza kumpokea mara baada ya kuwasili Ikulu akitokea nchini Marekani kwenye matibabu.Novemba 29,2014

1deff

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

2

Mjukuu wa Rais Kikwete Aziza Ridhiwani Kikwete akimpokea kwa shangwe na kadi Babu yake na kisha kupiga naye soga mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam leo akitokea nchini Marekani kwa matibabu.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *