MHE. RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WABUNGE WA CCM UKUMBI WA MAKAO MAKUU YA CHAMA DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. John Pombe Magufuli akiongea  na wa Bunge  wa CCM  alipokutana nao Ukumbi wa makao makuu ya Chama  CCM White House  Dodoma.

Wabunge  wateule wa CCM  wakimsikiliza Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. John Pombe Magufuli alipokua akiongea  na wabunge  hao katika ukumbi wa makao makuu ya Chama  CCM White House  Dodoma. tarehe 9 Novemba  2020

 Makamo wa rais Mhe Samia Sululu Hassan waziri mkuu mstaafu Kassim Majaliwa wakishangilia na  wabunge wa CCM  wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. John Pombe Magufuli alipokutana   na wabunge  wa CCM  katika  ukumbi wa Makao makuu ya Chama  CCM White House  Dodoma.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *